Thursday, February 6, 2014

HOOTT NEWSS : JUSTIN BIEBER ANASWA AKINYONYA CHUCHU ZA STRIPPER

   Huyu hapa ndiye kimwana stripper ambaye matiti ambayo ya bandia 'fake' yaliyogeuzwa kidude cha kunyonywa 'Chew Toy'...
Sources waliokuwa walio na ukaribu na huyu dancer ,wameiambia TMZ kwamba ,msichana huyo mwenye miaka 26 ameanza kufanya kazi ya u-stripper huko Las Vegas baada ya kuhamia kutoka Chicago ,sasa mnyama Bieber alivyoenda kutembelea mji huo mwezi wa kwanza kimyakimya alimnasa kimwana huyo mwenye tattoo ya kisungura kiunoni, na akamchukua na kurudi hotelini kwake alipofikia.

Sources zimeiambia TMZ kwamba Bieber na kundi lake walimchukua Carolina na madancer wenzake wawili kwa kufanya Private dances huko hotelini kwake na akawalipa kila mmoja dola elfu...
 Wasichana hao ,pindi tu walivyoingia chumba cha JB waka kubaliana kwamba chochote kitakachotokea usiku ule kwao hakuna kumwambia mtu yeyote.

HAYAAAA SASAAAA TWENDEEE BEYBERRRR!!!...

Sources wameiambia TMZ kwamba picha hiyo hapo juu ilipigwa ndani ya L.A recording Studio lakini ukweli ni ilipigwa kwenye sehemu aliyofikia Beiber.
Watoa habari hawakutaka kusema kilichoendelea zaidi kati ya JB na hao wasichana siku ile lakini Carolina alikubali kupozi kwa kupigwa picha hiyo hapo

TAZAMA PICHA KALIII ZA HUYO MTOTO HAPO JUU...!!