Friday, February 28, 2014

HOOOT NEWS : RIHANNA AMDANDIA DRAKE KWENYE STAGE...HATAREEE!!

    Hivi karibuni walionekana wakiwa pamoja kwenye moja ya Club huko L.A sasa hivi karibun Drake aliianza mishemishe zake za music na tour yake ya "WOULD YOU LIKE TOUR" huko paris...
Jarida la music MZHIPHOP limeeleza kuwa Drake anapenda kuwaalika Mafans wake akiwa kwenye stage na siku hiyo kilichoshangaza watu ni baada ya kuitwa Rihanna na kuvamia stage hiyo, Palais Omnisports de paris bercy.

Rihanna aliimba nyimbo ya "Pour iT up"..baada ya kupafon "Take care" na Drake Live..ikiwa kama mara ya Kwanza.



Tazama VIDEO za yaliojiri Siku Hiyo...



WEEEEEE...RIRIIII..!! NI SHIDAAAAA..!!

(Endelea Kushangaa HAPA CHINII..NI BALAAA...!!)
 




Source : MZHIPHOP.COM