Thursday, March 27, 2014

HOOOT NEWS : DIAMOND PLATINUMZ IN KORA AWARDS - 2014 | VOOTE!


    They say that "HARD WORK PAYS" ...
    
      MNYAMA COCA-BOY kutamba kimuziki zaidi ...sasa Nassib Abdul kukaa kwenye TUZO za KORA akiwa pamoja na mastaa wakubwa  Afrika kama Werason ,Koffi Olomide, P-square, Fally Ipupa..na wengine Kibao Katika Kinyang'anyiro hicho.
      Diamond sasa yuko katika List ya wiki ya 13,kwahiyo kuwa mzalendo mpigie kura diamond platinumz iliaweze kushinda katika Tuzo hizo za KORA-2014 pia aitangaze inchi yetu ,Tanzania!
 Unachotakiwa kufanya ni kuingia Page ya Kora awards ya Facebook-->KORA AWARDS  na kukomment jina la Diamond platinumz kwenye kila post ambayo ameshiriki diamond.
KUWA MZALENDO VOTE FOR DIAMOND PLATNUMZ
source: wasafii blog