Showing posts with label rihanna. Show all posts
Showing posts with label rihanna. Show all posts

Friday, February 28, 2014

HOOOT NEWS : RIHANNA AMDANDIA DRAKE KWENYE STAGE...HATAREEE!!

    Hivi karibuni walionekana wakiwa pamoja kwenye moja ya Club huko L.A sasa hivi karibun Drake aliianza mishemishe zake za music na tour yake ya "WOULD YOU LIKE TOUR" huko paris...
Jarida la music MZHIPHOP limeeleza kuwa Drake anapenda kuwaalika Mafans wake akiwa kwenye stage na siku hiyo kilichoshangaza watu ni baada ya kuitwa Rihanna na kuvamia stage hiyo, Palais Omnisports de paris bercy.

Rihanna aliimba nyimbo ya "Pour iT up"..baada ya kupafon "Take care" na Drake Live..ikiwa kama mara ya Kwanza.



Tazama VIDEO za yaliojiri Siku Hiyo...



WEEEEEE...RIRIIII..!! NI SHIDAAAAA..!!

(Endelea Kushangaa HAPA CHINII..NI BALAAA...!!)
 




Source : MZHIPHOP.COM





Tuesday, February 11, 2014

HOOT NEWS : DRAKE & RIHANNA GOT BACK TOGETHER

Drake na Rihanna wamerudia pamoja wikiend hii na kuonekana wakiparteey pamoja katika Night club moja huko L.A Ijumaa.
Vyanzo vya habari vimeiambia TMZ kwamba Drake na Rihanna waliingia mida tofauti lakini wapekuzi wa ndani ya club wamesema baada ya mda kidogo Rihanna akaonekana akijisogeza katika private-table ya Drake na kuwa pamoja mda woote mpaka huku wakionesha kuwa na furaha pamoja...
Asubuhi yake ilipowadia drake alionekana akitoka mda mchache tu badala ya Rihanna ...

Tazama video hapa Chini ili upate kuona Yaliojiri...


Drake & Rihanna -- Back Together ... In L.A. Nightclub

Saturday, February 1, 2014

NEW VIDEO : SHAKIRA FT RIHANNA - CAN'T REMEMBER TO FORGET YOU

LIFESTYLE : XCLUSIV RIHANNA'S CRIBS

   Si kitu chingine kitamfanya binaadamu wasasa awe na jeuri bali ni PESA ,na hichi kitu watu wengi wana namna tofauti za kuzitafuta na kuzitumia ,unaemuona hapo kushoto kwako ni produza ,singer ,writer na pia choreographer kutoka jamii ya wanaobama ,ROBYN RIHANNA FENTY(kuzaliwa Feb,20-1988) au kwa jina la usanii ni Rihanna. Msanii huyu mzawa wa Barbados anaetamba na Album yake mpya ya Unpologetic ni mmoja kati ya Mastaa wakubwa nchini humo na anauwezo mkubwa wa kifedha, imesemwa kwenye mtandao wa Celebritynetworth kwamba mtoto huyu analipwa 800,000 per show, DuuH! ni balaa lakini tuendelee...
Inakuwaje mtu una Fedha nyngi na unasehemu duni ya kuishi ,sasa rihanna anakataa kabisa sentensi hiyo kwa kununua CRIBS matata na zenye pay ndefu na kujipumzisha na Familia yake...
   Picha Zifutazo ni MIJENGO anayomiliki mwanandada huyu .Tazama watu wanavoishi na ujiulize au unukuu kama alivyonukuu rafiki yangu ANKO .T,,kwamba WABONGO TUNAISHI AU TUNA-SURVIVE..??!.

CRIB YA RIHANNA HUKO PASIFIC PALISADES.

(COST $12M)

    Vilivyomo kwnye huu ambao ni 11,000sq ft kujengwa  2010, 7-bedrooms, 9 bathrooms, showroom ,quality kitchen ,formal living & dining rooms, media &game room,spa ,pool, slick outdoor bar,bbq na 4-car garage. Kilichonishangaza ni kwamba huu ni mjengo una 6000sq ft.flat glassy backyard. ENDELEA KUTIZAMA PICHA NYUMBA ZINGINE HAPA CHINI...


Hii ndio Front View!



Hapa ni ndani.




JIKO.

OUTSIDE.



BARBADOS BEACHSIDE CRIB (COST $22M) .

  Hapa Rihanna aliamua ang'ae kwao kwa kununua mjengo huu huko barbados uliomdamage $22Million Dollars,,Duuh!..kuhusu  huu mjengo ambao  ni 10,000sq ft ambao ulikuwa unapigwa mnada kwa $21.8M ambao pia ni ulikuwa 5 star sandy lane Hotel, mdada aliununua badala ya kupanga na mama yake mazazi mwaka 2012.







Sources:www.dailymail.co.uk 
              www.celebritycribs.info
              www.celebritynetworth.com


Friday, December 27, 2013

PHOTOZ : CELEBRITIES BIRTHDAY CAKES 2013

    Katika mwaka 2013 tumesherehekea Siku za kuzaliwa kwa mastaa wengi hapa katika tasnia tofauti za Burudani ikiwa muziki, sinema n.k...
    Kama ikiwa  ni kawaida ya Siku ya Kuzaliwa huwa tunamuandaliwa Keki msherehi ikiwa ni moja kumtakia maisha mema. Zifuatazo ni picha zinazoonyesha Keki Za Mastaa tofauti dunia              
 

**Nicki Minaj**

**Chris Brown**


**Chrisina Augulera**


**Miley Cyrus**

 

**Rihanna**

**Celina Gomez**

**T.I**

**Lil' wayne**


Friday, November 1, 2013

PHOTOS: XCLUSIV CELEBRITY HALLOWEEN COSTUMES 2013

From the HALLOWEEN DAY (31st October) the following are the BEST hallowen costumes from various CELEBRITIES...
Nicki minaj dresses as Officer nicki minaj


Ellen Gegeneres as Nicki minaj


Paris Hilton dresses as Miley cyrus




Kendel jenner dresses like a cat
Beyonce dresses like AN ANGEL

Tom brady & wife Gisele bundchen dresses asDorothy and lion for wizard OZ


Jessica Alba and friends dresses like WITCHES

Queen Latifa dresses as NEFERTITI


Rihanna dresses as CHOLA ZOMBIE


Demi lavato as A ZOMBIE

Drake as YESSUS 'kanye west'


Kim kardashian, kanye west ,scott dissick, Kourtney Kardashian & Jonathan Cheban as  BATMAN characters


Miley cyrus as Lil kim




Wednesday, October 2, 2013

(NEW VIDEO) RIHANNA - POUR IT UP

Watch Rihanna - Rihanna "Pour It Up" Video
After a few teasers and photos from the set, Rihanna is ready to release the full video for her strip club anthem which appeared on her last album "Unapologetic." Strippers working the pole, and girls twerking in water are just some of the visuals you'll see in this video.
 Note:








watch the video below...

Wednesday, September 18, 2013

Rihanna Fashion Trends


Rihanna Fashion Trends - The pop star blitzed the biannual event with her own unique brand of style.
Rihanna is one of the few celebrities that blazes her own fashion trail,” says Micky Boardman, Paper Magazine and Fashion Week veteran. “She doesn’t feel like she’s styled, even though she has a great stylist: Mel Ottenberg.”
The songstress, who popped up in the Big Apple last Wednesday, has been traipsing through the streets of New York in chest-bearing togs, sitting front-row at some of the hottest fashion shows, and even fueling rumors of a romance with rapper A$AP Rocky — and looking fabulous doing it.

The singer’s style is partly due to the creative eye of American stylist Ottenberg, who also doubles as the fashion editor at Purple Magazine. Ottenberg, who works with fashion’s top, often edgy designers and only a few celebrities, told style.com that his styling signature was “a certain effortlessness.”
And that ethos shines through.

At Alexander Wang’s Saturday show, she appeared sultry in a red number with a plunging neckline.
The next night, she tapped into her inner Goth chick — and solidified the fact that she’s single-handedly bringing back the choker — by sporting a vintage-looking Zac Posen dress with chunky brothel creepers.
Between shows, she kept pace with her killer street style while shopping in Soho and hailing cabs around town.

Often, adds Boardman, “Stars seem to just wear the latest looks and don’t have a strong personal fashion identity. Rihanna is the real deal.
Here are five reasons why Rihanna rocks it:
1. She takes chances.
Who would put on a dog-chain choker with a T-shirt, jeans and an oversize clutch? She does. And she looks fabulous.
2. Nobody mixes casual street gear and luxury like the singer.
With an affinity for cheeky Givenchy T-shirts and high-top Nikes, the Barbadian beauty mixes in less-casual items to take the look from boring to daring.
3. She keeps us guessing.
Whenever Rihanna steps out of the house, she could have a new mullet, red butt-length locks or a new naughty tattoo. Not all of them are winners, but they keep us tuned-in.

4. She doesn’t subscribe to any one designer or aesthetic.
Nothing is too cheap or too expensive for her taste. One day, she’s wearing elegant Zac Posen and Manolos, and the next, a marijuana-leaf-emblazoned clutch and a camo onesie from her collection with River Island.

5. Her best accessory is her attitude.
Always looking like she’s having fun, Rihanna could go naked and still make a style statement.