Showing posts with label Chris brown. Show all posts
Showing posts with label Chris brown. Show all posts

Thursday, March 27, 2014

HOOT NEWS| WIVU : KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN ,BLOWOUT FIGHT OVER CHRIS BROWN

   Kanye west sasa aona wivu wa maoenzi kwa mchumba wake Kim sababu ya kuwa na mahusiano na Chris brown ambaye sasa yuko jela kwa mda wa mwezi mmoja .

Mtandao wa habari za wasanii wa marekani HollywoodLife umeeleza kuwa Kanye akatamka kuwa anaweza kuhairisha ndoa yao...
Imeelezwa tena kanye amemkataza kuwa na mawasiliano na Chris baada ya kuona Chris na kim wakiangalia kimahaba walivyokuwa wakiongea kuhusu biashara .

Mtandao tena umeeleza kuwa Kanye hampendi Chris kwa sababu zifuatazo :
- kitendo cha chris-2009 kumpiga Rihanna .
-Chris ni mtu ambaye anaharibu sheria .
kwahiyo kanye anaamini kuwa wadhfa wake ni kila kitu kwake kwahiyo hataki Brown amuharibie

Friday, March 21, 2014

XCLUSIVE HOOOT NEWS : CHRIS BROWN IN JAIL FOR 1 MONTH


  Sasa CHRIS BROWN amerudishwa tena kifungoni  kwa mda wa mwezi mmoja mpaka 23/04 ambapo kutakuwa na masikilizo ya kesi yake tena...
mama wa Chris akiwa na wakili wa chris
Judge alieleza kuwa Chris hana uwezo wa kuacha matatizo " inability to stay out of trouble " baada ya kutamka katika maongezi huko alivokuwa rehab kwamba yeye ni mzoefu wakutumia bunduki na visu " I am good at using guns and knives "

   Kwahiyo mnyama atabakiwa kwenye banda mpaka tarehe 23 mwezi wa 4 ambako inasemekana kuwa kama ataonekana na makosa zaidi inaweza kuwa kesi kubwa na kufungwa zaidi ya miaka 4.

   Habari hii imetolewa na TMZ ambapo Chris brown alikamatwa Ijumaa ya wiki iliyopita baada ya kufukuzwa Rehab kwa utovu wa nidhamu wake na kutofata masharti 3 ' violation 3 internal rules ' ambako moja kubwa inayozingatiwa kwake ni kukaa futi si chini ya 2 kutoka kwa mwanamke  ' STAY AT LEAST 2 FEETS FROM A WOMAN  ' na hii ilitokana na kesi ya kumpiga Rihanna . (Endelea kusoma habari hapa chini)


     Star huyo alionekana na wasimamizi wa Rehab akimshika mwanamke kiwiko na mikono ya mwanamke...ambako hiyo ilikuwa ni kuvunja sheria ...

    Jambo lingine Chris alivorusiwa kutoka huko rehab aliambiwa apeleke majibu ya vipimo vya utumizi wa madawa ya kulevya lakini akakataa na baadaye akakubali na kupatiwa vipimo na kuonekana kwamba ni Negative .
 Na la mwisho ni vile alivotamka kwamba yeye ni mzoefu wakutumia bunduki na visu " I am good at using guns and knives "
"kwahiyo hii ni fundisho kwa vijana woote wenye jeuri ya kifedha wa wadhfa wao...hata kama wako hivo lakin wanatakiwa wafate na waheshimu sheria za nchi yao---obey all rules"
Tazama video hii kufahamu zaidi jambo hili...

Sources : TMZ , HLN



Tuesday, February 25, 2014

HOOT NEWS : CHRIS BROWN REVIEWs HIS X - ALBUM RELEASE


Chris Brown's X has been a long time coming. We heard the first single "Fine China" last year, but legal issues have delayed the release of the album. Brown is currently serving 3 months in rehab for anger management, but it looks like he's begun to start thinking about getting his album together, as he's announced the release date today.

Taking to twitter, Chris announced that the project will be coming May 5th, as well as calling it his "best album yet". He included a photo which looks like it could possibly be a piece of the album cover, but we'll have to wait and see.
May 5th happens to be the same release date as Lil Wayne's "Carter V". Who's gonna sell more

View Chris' tweet below.
"X" is by far my best album yet.... Setting the date for MAY 5 pic.twitter.com/cFrfpgsBcD
— Chris Brown (@chrisbrown) פברואר 22, 2014


Thursday, January 30, 2014

DEDiCATION : CHRIS BROWN - SWEETHEART

I ,Blogger dedicate this Lovely song To some1 soo wonderful,my Asil, you are my Sweetheart!!!...

Friday, December 27, 2013

PHOTOZ : CELEBRITIES BIRTHDAY CAKES 2013

    Katika mwaka 2013 tumesherehekea Siku za kuzaliwa kwa mastaa wengi hapa katika tasnia tofauti za Burudani ikiwa muziki, sinema n.k...
    Kama ikiwa  ni kawaida ya Siku ya Kuzaliwa huwa tunamuandaliwa Keki msherehi ikiwa ni moja kumtakia maisha mema. Zifuatazo ni picha zinazoonyesha Keki Za Mastaa tofauti dunia              
 

**Nicki Minaj**

**Chris Brown**


**Chrisina Augulera**


**Miley Cyrus**

 

**Rihanna**

**Celina Gomez**

**T.I**

**Lil' wayne**


Monday, October 7, 2013

NEW VIDEO: Pusha T Ft. Chris Brown "Sweet Serenade"



Watch Pusha T Feat. Chris Brown "Sweet Serenade" Video
Pusha T continues to drop some dope visuals to go along with his music on "My Name Is My Name." Following the black & white "Nosetalgia" Pusha T comes through with "Sweet Serenade" featuring cameos from Chris Brown. It's another dark visual, with Pusha chilling on the beach with black lights and women, and can't forget the stripper pole