Showing posts with label justin bieber. Show all posts
Showing posts with label justin bieber. Show all posts

Saturday, April 12, 2014

HOOT NEWS : JUSTIN BIEBER GOT NEW BUGATTI FROM BIRDMAN

Kama ilikuwa kawaida kumtunza mtu zawadi au kumsaidia binaadamu mwenzako sababu sisi woote tumeumbwa na mwenyezi mungu na unapomuona binaadamu mwenzako anapata tabu basi msaidie...hii aliithibitisha mnyama,CocaBouy, D2theP DIAMOND PLATNUMZ baada ya kumnunulia mkongwe wa muziki mzee Gurumo mkoko...
Sasa hii nyngine ni BALAAAA...!!!  kutoka kikundi cha wanahiphop kama Lilwayne, Mackmane, Jay sean n.k, CMB ambacho kinachomilikiwa na Bryan Williams A.K.A BIRDMAN , inaelezwa kuwa BIRDMAN amemnunulia Gari Msanii wa R&B JUSTIN BIEBER ambalo linagharimu kama $2Million .

Justin Bieber alipost kwenye ukurasa wake wa Istagram akisema "Uncle Stunna luv. My first Bugatti ♛ #generosity" ...

sasa unaweza ukasema kuwa JB anakubalika kweli sababu hii ni ndinga ya pili katika COLLECTION zake za MAGARI ambalo alilozawadiwa  ,nyengine ni ile aliyopewa na msanii wa hiphop SEAN COMBS A.K.A P.DIDDY baada ya kutimiza miaka 16 (Bonyeza hapa uone huo mkoko)....

-source : time.com

Thursday, February 6, 2014

HOOTT NEWSS : JUSTIN BIEBER ANASWA AKINYONYA CHUCHU ZA STRIPPER

   Huyu hapa ndiye kimwana stripper ambaye matiti ambayo ya bandia 'fake' yaliyogeuzwa kidude cha kunyonywa 'Chew Toy'...
Sources waliokuwa walio na ukaribu na huyu dancer ,wameiambia TMZ kwamba ,msichana huyo mwenye miaka 26 ameanza kufanya kazi ya u-stripper huko Las Vegas baada ya kuhamia kutoka Chicago ,sasa mnyama Bieber alivyoenda kutembelea mji huo mwezi wa kwanza kimyakimya alimnasa kimwana huyo mwenye tattoo ya kisungura kiunoni, na akamchukua na kurudi hotelini kwake alipofikia.

Sources zimeiambia TMZ kwamba Bieber na kundi lake walimchukua Carolina na madancer wenzake wawili kwa kufanya Private dances huko hotelini kwake na akawalipa kila mmoja dola elfu...
 Wasichana hao ,pindi tu walivyoingia chumba cha JB waka kubaliana kwamba chochote kitakachotokea usiku ule kwao hakuna kumwambia mtu yeyote.

HAYAAAA SASAAAA TWENDEEE BEYBERRRR!!!...

Sources wameiambia TMZ kwamba picha hiyo hapo juu ilipigwa ndani ya L.A recording Studio lakini ukweli ni ilipigwa kwenye sehemu aliyofikia Beiber.
Watoa habari hawakutaka kusema kilichoendelea zaidi kati ya JB na hao wasichana siku ile lakini Carolina alikubali kupozi kwa kupigwa picha hiyo hapo

TAZAMA PICHA KALIII ZA HUYO MTOTO HAPO JUU...!!







NEWS : HUYU NDIO TOTO YA JUSTIN BIEBER KWA SASA

   Kwa jina kamili toto hii inaitwa Chantel Jeffries mwenye miaka 21, mzawa wa North Calorina ,kazi yake ni U-model . 
Katika siku za karibuni kumetokea fununu zaidi kuhusu Justin Bieber anakimwana kipya baada ya Kupost picha ya Toto hii asubuhi ya Alhamis moja na kuleta gumzo kwa Followers wa JB ,na baada ya saa picha ikaondolewa ,baada ya tukio hilo kumekuwa na habari tofauti kuhusu wawili hawa kwamba ,hii toto ndio kimwana kipya cha Star wa POP na R&B music Justin bieber.
Chantel na Jb wamezidi kuonekana sehem tofauti wakila bhata tena pale baada  ya KWENDA VACCAY PANAMA.

    Sasa Ndugu mpenzi wa blog hii unaweza we mwenyewe Kudhihirisha kwamba ,Je Jb anapiga Hii toto au La hasha!..kama Wanavyosema wao wenyewe kwamba ni Marafiki tu lakini ,we ndio wakujudge hii kitu si mii ,bali nakupa habarii tu! :)

TAZAMA PICHA ZA CHANTEL HAPA UPAGAWE....:))

Hii picha hapo juu ndio ambayo aliyopost Justin Bieber kwenye Ukurasa wake wa instagram.

Facial PiCX!!!..






BIKINIIIZZ...!!!








Otherz..!!







Source : Instagram
                www.google.com













Saturday, February 1, 2014

NEWS : JUSTIN BIEBER ANASWA AKILA BHATA PANAMA NA KIMWANA KIPYA

      Tangu Justin Bieber kuachana na Celina Gomez kumekuwa na Ripot za mitandao mingi kwamba, Star huyu wa R&B na POP music kuwa amekuwa akinaswa na kimwana kipya, Chantel Jeffries ambaye anafanya kazi ya Umodel. 
   Chantel amekuwa akionekana na justin sehemu tofauti tofaut ,kati ya sehemu ambazo Blogu hii imeinyakuwa kutoka mitandaoni ni hii ya PANAMA ambapo Justin alikuwa akila bahta baada ya kutoka Rehab, huku akiwa na Scooter Braun amabye ndie maneja wa bieber, na Crew yake.




TAZAMA PICHA ZA JUSTIN BIEBER NA CHANTEL HUKO PANAMA 








Source: www.nydailynews.com

Friday, January 31, 2014

NEWS : JUSTIN BIEBER's MOST SHOCKING HOOKUPS

  1.Justin Bieber and Jacque Rae Pyles reignited a romance for a short time in Sept. 2013.

2.Justin Bieber got close to a stripper during a strip club visit in Houston, Texas on Oct. 18, 2013.
3.Justin Bieber brought home multiple girls from Zax Club in Rio de Janiero on Nov. 2, 2013

4.Justin Bieber and Fernanda Paes cozied up in Rio de Janeiro, Brazil in Nov. 2013.



5.Tati Neves, who filmed Justin Bieber sleeping, claimed to sleep with him on Nov. 7, 2013 in Brazil.




6. Justin Bieber got close to British model Lauren Pope at his Calabasas, Calif. home on Nov. 6, 2013.

7.Justin Bieber and Selena Gomez's reunion on January 4, 2014.

Monday, January 13, 2014

NEWS:JUSTIN BIEBER'S NEW TATTOOS

COMPASS

JOKER

NEWS : JUSTIN BIEBER AVAMIA JIRANI ZAKE KWA KURUSHA MAYAI

  Asubuhi ya Tarehe 1/1/2014,Alhamisi saa 12:30,  Star Justin Bieber alionekana akirusha mayai(Egg Attack) kwenye nyumba ya jirani yake. Mtandao mkubwa wa habari ,TMZ kutoka huko U.S.A waliipata video hii iliyochukuliwa na Jirani huyo.
  Video hii haionekani vizuri lakini unaweza kusikia maneno ya matusi ambayo Justin alikuwa akirushiana na jirani huyo. Tazama video hapa chini.

  Sasa imekadiliwa kwamba uharibifu alioufanya Justin Bieber katika balaa hilo umemghalimu dola za limarekani 200,000 ni zaidi ya milion mia 3 za kibongo, na pia TMZ inaeleza kwamba kijana huyo hajaomba msamaha kwa jirani hao.

Tazama picha zinazoonesha uharibifu wa JB .