Showing posts with label Chantel Jeffries. Show all posts
Showing posts with label Chantel Jeffries. Show all posts

Thursday, February 6, 2014

NEWS : HUYU NDIO TOTO YA JUSTIN BIEBER KWA SASA

   Kwa jina kamili toto hii inaitwa Chantel Jeffries mwenye miaka 21, mzawa wa North Calorina ,kazi yake ni U-model . 
Katika siku za karibuni kumetokea fununu zaidi kuhusu Justin Bieber anakimwana kipya baada ya Kupost picha ya Toto hii asubuhi ya Alhamis moja na kuleta gumzo kwa Followers wa JB ,na baada ya saa picha ikaondolewa ,baada ya tukio hilo kumekuwa na habari tofauti kuhusu wawili hawa kwamba ,hii toto ndio kimwana kipya cha Star wa POP na R&B music Justin bieber.
Chantel na Jb wamezidi kuonekana sehem tofauti wakila bhata tena pale baada  ya KWENDA VACCAY PANAMA.

    Sasa Ndugu mpenzi wa blog hii unaweza we mwenyewe Kudhihirisha kwamba ,Je Jb anapiga Hii toto au La hasha!..kama Wanavyosema wao wenyewe kwamba ni Marafiki tu lakini ,we ndio wakujudge hii kitu si mii ,bali nakupa habarii tu! :)

TAZAMA PICHA ZA CHANTEL HAPA UPAGAWE....:))

Hii picha hapo juu ndio ambayo aliyopost Justin Bieber kwenye Ukurasa wake wa instagram.

Facial PiCX!!!..






BIKINIIIZZ...!!!








Otherz..!!







Source : Instagram
                www.google.com













Saturday, February 1, 2014

NEWS : JUSTIN BIEBER ANASWA AKILA BHATA PANAMA NA KIMWANA KIPYA

      Tangu Justin Bieber kuachana na Celina Gomez kumekuwa na Ripot za mitandao mingi kwamba, Star huyu wa R&B na POP music kuwa amekuwa akinaswa na kimwana kipya, Chantel Jeffries ambaye anafanya kazi ya Umodel. 
   Chantel amekuwa akionekana na justin sehemu tofauti tofaut ,kati ya sehemu ambazo Blogu hii imeinyakuwa kutoka mitandaoni ni hii ya PANAMA ambapo Justin alikuwa akila bahta baada ya kutoka Rehab, huku akiwa na Scooter Braun amabye ndie maneja wa bieber, na Crew yake.




TAZAMA PICHA ZA JUSTIN BIEBER NA CHANTEL HUKO PANAMA 








Source: www.nydailynews.com