Sunday, September 21, 2014

PHOTO : Picha Ya BEYONCE yazua Balaa mitandaoni

Mkali wa R&B pop ,Beyonce Knowles a.k.a Queen B, anashutumiwa na mashabiki wake kwenye mitandao kwa ku-photoshop picha yake ambayo alikuwa amepost katika page yake ya Tumblr akiwa amevaa Bikini....

Imeelezwa kwenye mtandao wa dairlymail kuwa inasemekana kwamba Beyonce amephotoshoop hiyo picha sehemu ya katikati ya Mapaja yake .


Picha hii ilipigwa wakati Beyonce akiwa kwenye shereke yake ya kutimiza miaka 33 kwenye Boti binafsi...na kuipost kwenye mtandao wake wa Tumblr...
Hizi ni Picha zenngine...