Saturday, December 14, 2013

NEWS : KHLOE KARDASHIAN AVUNJA NDOA YAKE NA LAMAR ODOM

  Khloe Kardashian ambaye ni dada mkubwa wa Kim kardashian sasa ameamua Kuvunja Ndoa yake ya miaka 4 na mcheza mpira wa kikapu Huko  Marekani, Lamar odom...
Kutokana na Usumbufu katika ndoa hiyoo sasa wawili hao hawako pamoja. 







 Tazama 'documents' za Talaka hapa chini...







TAZAMA VIDEO HAPA...