Tuesday, December 31, 2013

EVENT : Uzinduzi wa VIDEO 'ROHO YANGU' ya RICH MAVOKO@ New Maisha CluB

Msanii Rich Mavoko wa mionoko ya R&B ya bongo Flavor, Usiku wa Jumapili(tar 29) alizindua rasmi Video ya wimbo wake 'Roho Yangu' katika ukumbi wa New Maisha club, Mjini Dar -es-salaam.
   Katika show hiyo alisindikizwa na baadhi ya wasanii wenzake kama Jux Vuitton , shetta , dully sykes ,akiwemo na Mr blue na wengine wengi...









Tazama Picha hapa chini...