DOWNLOAD AUDIO ya Hii VIDEO ...BOFYA HAPA-->> CLICK
Showing posts with label Diamond PLatinumz. Show all posts
Showing posts with label Diamond PLatinumz. Show all posts
Tuesday, September 16, 2014
Monday, July 7, 2014
Wednesday, May 21, 2014
Thursday, March 27, 2014
HOOOT NEWS : DIAMOND PLATINUMZ IN KORA AWARDS - 2014 | VOOTE!
They say that "HARD WORK PAYS" ...
MNYAMA COCA-BOY kutamba kimuziki zaidi ...sasa Nassib Abdul kukaa kwenye TUZO za KORA akiwa pamoja na mastaa wakubwa Afrika kama Werason ,Koffi Olomide, P-square, Fally Ipupa..na wengine Kibao Katika Kinyang'anyiro hicho.
Diamond sasa yuko katika List ya wiki ya 13,kwahiyo kuwa mzalendo mpigie kura diamond platinumz iliaweze kushinda katika Tuzo hizo za KORA-2014 pia aitangaze inchi yetu ,Tanzania!
Unachotakiwa kufanya ni kuingia Page ya Kora awards ya Facebook-->KORA AWARDS na kukomment jina la Diamond platinumz kwenye kila post ambayo ameshiriki diamond.
KUWA MZALENDO VOTE FOR DIAMOND PLATNUMZ
Friday, March 14, 2014
TAZAMA MAFANS WALIVOGEZA SWAGGA ZA DIAMOND PLATINUMZ
Kwa jina la kuzaliwa anaitwa Nasib Abdul , kiusanii anaitwa Diamond platinumz
Huyu kijana ni mmoja kati ya mastaa wakubwa katika tasnia ya muziki wetu wa kibongo(BONGO FLAVOR & AFRI-POP) pamoja na hayo ni mmoja kati ya wasanii ambae anamafans wengi saana endapo na kuwa na mafans wengi kwenye mitandao...
Kama ilivokuwa watu wakikukubali zaidi wengi wao wanakuwa na fever yako kama alivo Justin Bieber"Bieber Fever" kwa kuwa na upendo kwake zaidi ...
Sasa kwa mnyama huyu ambaye anamiliki toto wema abraham sepetu ,baadhi ya mafans wake wanacopy swagger za kijana huyu kwa kuweka pozi za picha pamoja staili za mavazi yao kama Diamond anavoweka kwenye baadhi ya photoshoot zake.
Huyu kijana ni mmoja kati ya mastaa wakubwa katika tasnia ya muziki wetu wa kibongo(BONGO FLAVOR & AFRI-POP) pamoja na hayo ni mmoja kati ya wasanii ambae anamafans wengi saana endapo na kuwa na mafans wengi kwenye mitandao...
Kama ilivokuwa watu wakikukubali zaidi wengi wao wanakuwa na fever yako kama alivo Justin Bieber"Bieber Fever" kwa kuwa na upendo kwake zaidi ...
Sasa kwa mnyama huyu ambaye anamiliki toto wema abraham sepetu ,baadhi ya mafans wake wanacopy swagger za kijana huyu kwa kuweka pozi za picha pamoja staili za mavazi yao kama Diamond anavoweka kwenye baadhi ya photoshoot zake.
Tazama picha MAFANS wa DIAMOND WANAOMGEZA POZI ZAKE...
(KUJUA MENGI KUHUSU DIAMOND BOFYA HAPA--> DIAMOND)
CONTINUE HAPA CHINI KUNA NYENGINE KIBAOOO.....
(BOFYA HAPO ILI UONE PICHA ZA DIAMOND KABLA HAJATOKA--> TBT)
(FOR MORE ABOUT DIAMOND CLICK HEREE-->> DIAMOND PLATINUMZ)
Thursday, March 13, 2014
TBT : DIAMOND PLATINUMz

Diamond Platnumz
Birth name : Nasib Abdul
Also known as : Diamond
Born : c. 1988 (age 25–26)[1]
Origin : Kigoma, Tanzania, he is a famous musician also in Kenya
Genres : Bongo Flava
Instruments : vocals,piano,guitars & drums
Years active : 2009–present
Labels : WCB (Wasafi Classic Baby)
Associated acts : Davido
Website : thisisdiamond.com
Source : Wikipedia
for MORE abouT DIAMOND in this site click HERE-->> DIAMOND PLATINUMz
NOW..!!Thursday, February 27, 2014
Thursday, January 30, 2014
PHOTOS : TAZAMA PICHA ZA SHOW YA DIAMOND PLATINUMZ HUKO NAIROBI
Monday, January 13, 2014
Saturday, November 30, 2013
Tuesday, November 26, 2013
EVENT: DIAMOND PLATINUMZ FT HHP, NDANI YA COKE STUDIOS, WAKIIMBA TEMPTATIONS YA P.SQUARE
Katika kutanua imaya ya kazi yake cha muziki ,Msanii wa miondoko ya BONGO FLAVOUR ,aliyetamba kwa nyimbo My number 1, DIAMOND PLATINUMZ aliibuka nchi Nigeria ili kupata 'kolabo' na wasanii tofauti wa nci hiyo kama Davido ....
Pia alipata kutembelea Studio za COKE...Video hapa chini inaonesha msanii Diamond akitumbuiza kibao cha P.square Tempation akishirikiana na HHP...
For more about DIAMOND PLATINUMZ CLICK HERE...
Friday, November 15, 2013
Saturday, November 2, 2013
LYRICS: Diamond platinumz- MY NUMBER 1
Verse 1:
Kwanza mapenzi safari, ujana ni maji ya moto
Walinenaga zamani...
Pili tumetoka mbali, matatizo changamoto
tu visa visa fulani...
Ohh! tatu kidonda chako kwangu maradhi
Mama tu usononekapo kwangu simanzi..
Kwa mahaba uliyonipa nimenogewa
ni vurugu patashika punguza kidogo..
Na mengine kadharika toto si unanielewa?
Hapo hapo uliposhika...ukiongeza kidogo mi mwenzako ntaumia
Chorus:
Your my number one - my sweety sweety
Number one - my baby ooh oh
Your my umber one...oooh my darling
Number one - roho yangu mama x2
Verse 2:
Na nna wivu sikatai, maana uchungu wa mapenzi naujua
So Usije kunilaghai nikaja kuzama ukanizingua x2
Now show me how they do..
Ngololo x6
EVENTS: XCLUSIV DIAMOND PLATINUMZ MALAYSIA TOUR
Diamond Platnumz in Club Likwid, Kuala Lumpur, Malaysia
Watch the PART-I below...
WATCH the part-II of the TOUR, below...
For more about Diamond Platinumz CLICK HERE...
Thursday, October 10, 2013
NEWS: PICHA ZA DIAMOND PLATINUMz & THE GEORGIOUS WEMA SEPETU WAKINA CHINA ZASAMBAA...DIAMOND ASEMA YAFUATAYOO..
Baada ya picha za BONGO FLAVOUR STAR Diamond Platinumz akiwa na X-wake,Wema sepetu kusambaa ,wakijiachia Uchinani(CHINA)...diamond asemaa hivii...
"hizo ni picha zinazoonyesha ujio wa movie mpya inayoitwa "Temptation" ambayo itakuwa gumzo na mfano bora kutoka Tanzania."
Pia bwana Diamond ana haya ya kusema kwenye ukurasa wake wa Twitter
kufahamu au kujua zaidi habar za Diamon Platinumz kutoka kwa blogu hii ,bonyeza hapa...
Subscribe to:
Posts (Atom)
































