Showing posts with label CelebBio. Show all posts
Showing posts with label CelebBio. Show all posts

Monday, February 10, 2014

BIO : CRISTIANO RONALDO - CR7

   Jina la Kuzaliwa ni Cristiano Ronaldo Dos santos Aveiro, kuzaliwa kwake ni  5/02/1985, anajulikana kama Christiano Ronaldo A.k.A CR7 ,kijana huyu ni mchezaji mpira wa miguu(Football) wa Timu ya taifa ya Ureno na pia mchezaji wa timu ya Club Real Madrid akiwa kama Forward wao. 
CR7 amekuwa mchezaji mwenye Dau kubwa Duniani badala ya kuhama Manchester United na Kwenda Real Madrid 2009 kwa kiasi cha Dola za Kimarekani 131.6Milion(pauni Milion 80) ...Duuh!. Ronaldo ameingia kimkataba na Real madrid kwa kilipwa Euro Milion 21 kwa mwaka baada ya Ushuru.

EARLY LIFE 

Ronaldo alizaliwa Santo Antonio jirani na Funchal ,Madeila akiwa kama mtoto wa mwisho wa Maria Dolores Dos Santos Aveiro,ambae alikuwa Mpishi na baba yake ni Jose Dinis Aveiro akiwa kama Mtunza bustani wa halmashauri. Jina lake la Pili 'Ronaldo'  alipewa badala ya aliyekuwa Rais wa Marekani Ronald Reagan, ambaye alikuwa Actor ampendae baba'ke. Ronaldo alizaliwa akiwa na kaka yake ,Hugo na dada zake wawili Elma na Liliana Catia. Familia ya CR7 ilikuwa ya kikatoliki na maisha yao waliishi kimaskini . CR7 hakuwa na Toyz za kuchezea na yeye na kaka yake na dada zake walishare chumba cha kulala kimoja. Kipindi cha shule CR7 alikuwa anafahamika saana lakini alishawahi kufukuzwa shule badala ya kumrushia mwalimu wake kiti..na ye kudai kwamba mwalimu alimshushia heshma yake. wakati kijana alipofika miaka 14 alikubaliana na mama'ke kuendelea zaidi na fani yake ya kucheza mpira wa miguu.

Football carrier

Wakati wa ujana wake ronaldo ameshachezea timu nyingi sana lakini 2002 ,alikuwa amekaribishwa arsenal akutane na Arsenal wenger ,ambae ni kocha wa Timu ya arsenal, wenger alishauriana na wawakilishi wa kijana ili asign mkataba kuingia timu hiyo badala ya miezi michache lakini kijana alikubalika zaidi na kocha wa MAN U mwaka 2003 na kusign mkataba kuingia timu hiyo.
Akiwa MANCHESTER UNITED...
CR7 alisign mkataba wa kuichezea MAN U na kupewa kitita cha Pauni 12.24Milion ikiwa kama mshahara wake. Ronaldo alitaka kupewa jezi ya no# 28, lakini Ferguson alikataa na akasema kwamba apewe no#7. Kijana aliichezea timu hii kwa muhula wa 2003-2009
Akiwa REAL MADRID...
CR7 alisajiliwa Real madrid 11, june ,na timu hiyo ikatangaza kuwa Ronaldo atajiunga timu hiyo july, 1 kwa kitita cha pauni Milion 80 , akawa mchezaji wa Dau kubwa Duniani. Alitangazwa na Media za dunia kuwa mchezaji wa timu hiyo ikiwa 6,july na kupewa jezi no#9 kwa kukabidhiwa na gwiji wa timu hiyo Alfredo di stefano. HAPA NDIO BALAA LIKAANZA.. siku ya kualikwa Mnyama huyo uwanja wa Real,  Santiago Bernabeu ,uwanja huo ulifurika watu kati elfu 80,000 mpaka 85,000  na kuipita rekodi ya gwiji wa football Diego Maradona mwaka 1984 alivofurika 75,000 ya watu alivyokuwa trasfered kutoka Barca kwenda Napoli, Italy.

Tazama Baadhi ya Picha za Vikombe alivonyaka Mnyama hapa  Chini na Quotes za baadhi ya  magwiji wa mpira kwa CR7

Alivoopoa kikombe cha Ballon d'or huko paris-2008
Del deporte -2009

PFA Players' of the year
Golden boot - 40 goals..2011-2012

QUOTES...
I have nothing but praise for the boy. He is easily the best player in the world. His contribution as a goal threat is unbelievable. His stats are incredible. Strikes at goal, attempts on goal, raids into the penalty box, headers. It is all there. Absolutely astounding.
— Alex Ferguson, after Ronaldo's transfer to Real Madrid.
If Messi is the best on the planet, Ronaldo is the best in the universe. If you are going to give out the Ballon d'Or because a player is the best, give it to Cristiano or Messi. But I ask: if the two are on the same level, is it normal that one wins four and the other one? It is not.
— José Mourinho, when asked about the 2012 Ballon d'Or.
In the form he is in, given the chance, he will score. Cristiano wants to bring his team to the final and show why he should be considered the best player in the world.
— Diego Maradona, on Ronaldo's opportunity to take Portugal to the final.
There has always been big talk about Ronaldo and his attitude and all of that, but at some point you have to stop talking about attitude and look at the stats and what he has been doing. Stop talking and just watch. What he's been doing has been crazy.
— Former French star Thierry Henry.[302]




























FORR THE LADDYY'zz





Source : Wikipedia
                google search








Wednesday, February 5, 2014

BIOGRAPHY : TREY SONGZ

   Tremaine Aldon Neverson, kwa jina la Kikazi anajulikana kama Trey Songz ni Rapper, songwriter, mwimbaji, muigizaji na pia produza .
Album yake ya kwanza ilikuwa imetoka mwaka 2005 iitwayo "i gotta make it " ikafuatiwa na ya pili mwaka 2007 iitwayo "trey day", mwaka 2009 trey aliamua kutoa album yake ya tatu iitwayo "Ready".  Album yake ya "Passion, Pain & pressure" ambayo ilikuwa ya nne ilitoka Sept,14-2010 na ikafuatiwa na album yake ya tano iitwayo "Chapter V" ambayo aliitoa Aug,12-2012 .











EARLY LIFE :

 
      Tremaine Aldon Neverson a.k.a Trey Songz alizaliwa November ,28-1984 kwenye ki-mji kidogo kusini mwa Richmond huko Petersburg ,virginia. Mama yake ,April Tucker alikuwa anamiaka 17 wakati Trey alivyokuwa amezaliwa. Wakati Trey ana umri wa miaka 7 ,mama yake aliolewa na mwanajeshi kwahiyo Trey alilelewa katika maisha ya kuhama sehemu tofauti wakati kila sehemu ambayo Baba yake wa kambo alipokuwa anahamishwa kikazi. 
   Trey alijigundua uwezo wake wa kuimba na kutunga mashairi wakati familia yake imerudi Petersburg ambapo alikuwa ana umri wa miaka 14 . Trey alianza kupafom huku akipewasupport kubwa na ndugu na marafiki zake. Produza Troy Taylor aligundua uwezo wa Trey 2000 kwenye moja ya Talent Show na kukubaliana kwamba amalize shule(high school) ndipo waanze kazi ya Muziki pamoja. Trey wakati amemaliza High school akahamia New Jersey ilikuanza kazi yake ya Muziki.

Endelea KUFAHAMU mengi HAPA CHINI...



MUSIC CARRIER: 

   Mwaka 2013 ,Trey alisign dili ya muziki katika studio iitwayo Atrantic Records na kupokea kitita cha fedha $100,000 . Baada ya miaka miwili ndio alipoachia  Album yake ya kwanza I gotta make it ,hii album haikufanya vizuri zaidi kwahiyo akashika nafasi ya 20 kwenye Billboard Album charts na kuuza kopi 395,000 ,lakini mwaka 2007 alipanda zaidi baada ya kutoa Album yake ya pili, Trey day iliyokuwa na kibao cha Can't help but wait, na hicho kibao kushika nafasi 11 kwenye Billboard Charts. TRey aliendelea zaidi kupanda katika Album yake ya tatu ,Ready ambayo ilishika nafasi ya 3 katika Billboard Album charts na kukubalika kimuziki zaidi katika Radio tofauti na pia kupata tuzo ya BET-2010 ya BEST  MALE R&B ARTIST.

Tazama Picha za TREY HAPA CHINI...

MAMA YAKE APRIL TUCKER



CLASSIC PICZ : 






TREY'S SMILE :





TREYZ BODY:






Source : www.biography.com
               www.wikipedia.com
               www.google.com


 



Tuesday, December 31, 2013

BIOGRAPHY : DAVIDO

Davido ,amezaliwa kama David Adedeji Adeleke ni mwmbaji wa muziki pia ni 'producer'. Davido ,akiwa kama mtoto wa Bw. na Bi. Adeleke alizaliwa Antlanta GA huko USA ,November 21st,1992, na kuhitimu 'British international school' huko lagos. na pia sasa anachukua degree yake ya Business administration kwa part time katika Babcock University.
Akiwa kama msanii ambaye anasafiri sana nchi kama USA ,UK  na Nigeria ,Davido ameXperience mila tofauti lakini hasahau kwao na hii ni inaaonesha hata katika muziki wake na watu ambao waliomuendeleza katika muziki kama Don jazzy ,2face idibia, Sound sultan, na wande coal.
Davido hata kama ameanza muziki hivi karibuni, lakini ameanza kuimba na kupafomu muziki tangu ana miaka 11 na mpaka sasa 21 na amezindua rekod Labo yake iitwayo HKN MUSIC, ambayo kwa pamoja inamilikiwa na Davido mwenyewe akiwa na kaka yake mkubwa Ade.
 Davido ,amejikusanyia mashabiki wengi katika kipindi cha muda mchache ambapo 2011 alizindua nyimbo yake ya kwanza akimshilikisha Naeto C ,iitwayo "Back When" , na baada ya Hapo akaja zaidi na kutoa singo ya Dami duro iliyotengenezwa na produza wake Shizzi na yeye pia ,Nov 2011 ambayo ilimpa wadhfa mkubwa katika tasnia ya muziki na kushika No#1 katika chati ya afrika ya Trace, na kujulikana zaidi nje ya afrika na Pia kupata nafasi kuimba katika jukwaa moja na wasanii wakubwa kama T-pain, Fabolous, Cabo snoop,Naeto C na wengine wengi.
Davido akiwa kama mwanamuziki na pia Balozi wa MTN ,anajulikana kama msanii ambaye yuko bize saana na muziki akiwa amefanya showz zikiwemo...
  • The Music Meets Runway Show
  • PSquare Invasion Concert
  • “This is Lynxxx” Campus Tour
  • Vivendi Fashion Show
  • Clan by Deola Sagoe
  • Loud on Sound Concert
  • Koko Concert London
  • Elite Model Look 2011 and many others
  • Rhythm Unplugged,
  • Echo 2011,
  • Access Bank End of year Party
  • The Sahara End of year concert.
 Na nyingine nyingi zikiendelea na kufanya tour nchi nyingi moja wapo nchi yetu ya Tanzania. Davido ni msanii mkubwa kwa sasa ambaye anatikisa tasnia ya muziki na ukweli huu unathibitishwa na Albamu yake ya kwanza iitwayo O.B.O(Omo Baba Olowo) iliyotoka mwaka 2011.

TAZAMA BAADHI YA PICHA ZA DAVIDO HAPA CHINI...

Akiwa na Familia Yake wa kwanza kushto ni kaka yake ambaye ni Chairman wa HKN music ,anaefatia ni baba yake Dr.Deji Adeleke, halafu dada yake Sharon

Huyu ni msanii mwenzake wa kundi la HKN MUSIC B-RED

Akiwa Na Akon
Akiwa na mchezaji mpira wa miguu Samuel Eto'o, huku wakionesha Rolex zaoo